azithromycim
JF-Expert Member
- Apr 18, 2019
- 288
- 714
Hawa ndo graduate wetu. Kama ni wa mifugo sawa . Ila kwa uandishi wako hutakiwi kutibu hata kuku. Udactari ndo kitu gani?Mimi nikijana mwenye mika 28 ninaishi mkoa wa Tanga nimehitimu chuo mwaka 2021
kwasasa nimejitolea katika hospitali ya wilaya
Natafuta kazi mkoa wowote na wilaya yoyote
Kwamawasiliano na kupata CV yangu
kclafya@gmail.com
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Hawa ndo graduate wetu. Kama ni wa mifugo sawa . Ila kwa uandishi wako hutakiwi kutibu hata kuku. Udactari ndo kitu gani?
Maisha typing error izo mkuuHawa ndo graduate wetu. Kama ni wa mifugo sawa . Ila kwa uandishi wako hutakiwi kutibu hata kuku. Udactari ndo kitu gani?
Acha ujuaji, huo mwandiko una shida ganii inayozuia kufikisha ujumbe.Hawa ndo graduate wetu. Kama ni wa mifugo sawa . Ila kwa uandishi wako hutakiwi kutibu hata kuku. Udactari ndo kitu gani?
Haya madactari sikio la kufaAcha ujuaji, huo mwandiko una shida ganii inayozuia kufikisha ujumbe.
Rubish
Umeandika nini sasa hapa?Haya madactari sikio la kufa