Wauzaji wa containers
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 615
- 1,443
Habari ya uzima.
Mimi naitwa Erick Bernard napatikana DSM kwa sasa.
Natafuta Kazi ya jikoni Kama kuuza supu ya kongoro, chipsi, kuku wa kukaanga, chakula na huduma zote za chakula.
Nina uzoefu wa hii kazi, nimefanya Sana hii kazi maeneo ya DSM kibamba, Mbezi na Banana Gongo la Mboto.
Nina kauli nzuri sana kwa wateja (Good customer care)
Nipo humble, smart na mwaminifu sana.
Hivyo MTU yeyote mwenye uhitaji wa kuwekeza katika hii biashara anakaribishwa na MTU yeyote anayehitaji kijana mchapa Kazi anakaribishwa Sana.
Waweza nipata kwa namba hii
0746766898
Mimi naitwa Erick Bernard napatikana DSM kwa sasa.
Natafuta Kazi ya jikoni Kama kuuza supu ya kongoro, chipsi, kuku wa kukaanga, chakula na huduma zote za chakula.
Nina uzoefu wa hii kazi, nimefanya Sana hii kazi maeneo ya DSM kibamba, Mbezi na Banana Gongo la Mboto.
Nina kauli nzuri sana kwa wateja (Good customer care)
Nipo humble, smart na mwaminifu sana.
Hivyo MTU yeyote mwenye uhitaji wa kuwekeza katika hii biashara anakaribishwa na MTU yeyote anayehitaji kijana mchapa Kazi anakaribishwa Sana.
Waweza nipata kwa namba hii
0746766898