Natafuta kazi ya jikoni - kuuza chipsi, kuku, supu n.k

Natafuta kazi ya jikoni - kuuza chipsi, kuku, supu n.k

Mimi kuna sehemu kuna Bar ipo mbezi kuna Jiko lakini halina mtu. kama una mtaji nikuunganishe hapo uende ukapige hela.

Unaweza kuuza Chips, Kongoro, Kuchoma nyama lakini pia lipo lingine hapo hapo la Kitimoto
Naomba niunganishe mkuuu au mwambie mtoa mada ataniambia nahitaji hilo jiko.
 
Mtaji wa Kufungua Ofisi niachie, nataka tu wewe upendekeze wapi unahisi tukitega tutapga pesa.

Au kama kwenye kuzunguka kwako utakutana na JIKO linakodishwa halina mtu

Usisite niambia, Pita Pita zako hutokosa Bar yenye jiko ila haina mtu jikoni.

Bonafsi bar ninazozijua zisizo na watu jikoni hazina wateja ninaotamani wakuweza nipa kiasi cha pesa ninachokitaka kwa siku.

TUSAIDIANE TAFUTA KWA PAMOJA.
Umemaliza akutafute
 
Habari ya uzima.

Mimi naitwa Erick Bernard napatikana DSM kwa sasa.

Natafuta Kazi ya jikoni Kama kuuza supu ya kongoro , chipsi, kuku wa kukaanga , chakula na huduma zote za chakula.

Nina uzoefu wa hii kazi , nimefanya Sana hii kazi maeneo ya DSM kibamba , mbezi na Banana Gongo la mboto.

Nina kauli nzuri Sana kwa wateja
(Good customer care)

Nipo humble , smart na mwaminifu Sana .

Hivyo MTU yeyote mwenye uhitaji wa kuwekeza katika hii biashara anakaribishwa na MTU yeyote anayehitaji kijana mchapa Kazi anakaribishwa Sana.


Waweza nipata kwa namba hii

0746766898
Unataka kulipwa Tsh ngapi?
 
Wakuu bado nafatilia FURSA ya jikoni bado sijapata .

Nipo DSM kibamba naomba MTU yeyote mwenye kazi au anatafuta kijana mwaminifu anijulishe.

Nahitaji kazi Sana wakuu.

Mimi nipo vizuri katika haya maeneo

Biashara ya chips
Kuuza na kuandaa chips
Kuku wa kukaanga
Supu ya kuku ,mbuzi na n'gombe
Supu ya kongoro.


Pia tunaweza kupanua biashara kwa kuuza na chakula kama ugali, wali na ndizi.


Napatikana Muda wote kuanzia sasa 24/7
 
Wakuu bado nafatilia FURSA ya jikoni bado sijapata .

Nipo DSM kibamba naomba MTU yeyote mwenye kazi au anatafuta kijana mwaminifu anijulishe.

Nahitaji kazi Sana wakuu.

Mimi nipo vizuri katika haya maeneo

Biashara ya chips
Kuuza na kuandaa chips
Kuku wa kukaanga
Supu ya kuku ,mbuzi na n'gombe
Supu ya kongoro.


Pia tunaweza kupanua biashara kwa kuuza na chakula kama ugali, wali na ndizi.


Napatikana Muda wote kuanzia sasa 24/7
Ungekuwa Mwanza hii coment yangu ingekuwa mwisho wa uzi wako.
 
Nafikiri wanalipa kwa siku elfu tano
Wakuu niwasaidie kitu, kwenye kuanza biashara yoyote ile usifunge mkataba mnono na mwenye bar au nyumba. mwanzoni ikibidi mgrind to the maximum ukifanikiwa kwa hilo baadae utakuja kuishukuru hii comment yaani mfano hapo nimeona jiko per day 5k wewe funga nae siku 30 tu za matazamio kwa hiyo hiyo 5k yake kwanza, kisha ukijiridhisha na consumption ya bidhaa yako unafunga nae mkataba wa 2.5k per day..
 
Back
Top Bottom