Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
Naomba nije pmMimi kuna sehemu kuna Bar ipo mbezi kuna Jiko lakini halina mtu. kama una mtaji nikuunganishe hapo uende ukapige hela.
Unaweza kuuza Chips, Kongoro, Kuchoma nyama lakini pia lipo lingine hapo hapo la Kitimoto
Nafikiri wanalipa kwa siku elfu tanoMkuu kodi bei gani hapo?
Naomba niunganishe mkuuu au mwambie mtoa mada ataniambia nahitaji hilo jiko.Mimi kuna sehemu kuna Bar ipo mbezi kuna Jiko lakini halina mtu. kama una mtaji nikuunganishe hapo uende ukapige hela.
Unaweza kuuza Chips, Kongoro, Kuchoma nyama lakini pia lipo lingine hapo hapo la Kitimoto
Nme quote comment yake kumuomba anipe direction au jina la bar husika.Mkuu The bump waweza wasiliana na DALALI MKUU tukapata jiko!?
Kwamba jamaa huwa anadokoa order za wateja au?Hivi we JOHN MAXWELL bado tu unajihusisha na kazi za jikoni, wenzako wanakuogopa kwa kula order za watu ndiyo maana hawakupi kazi.
Umemaliza akutafuteMtaji wa Kufungua Ofisi niachie, nataka tu wewe upendekeze wapi unahisi tukitega tutapga pesa.
Au kama kwenye kuzunguka kwako utakutana na JIKO linakodishwa halina mtu
Usisite niambia, Pita Pita zako hutokosa Bar yenye jiko ila haina mtu jikoni.
Bonafsi bar ninazozijua zisizo na watu jikoni hazina wateja ninaotamani wakuweza nipa kiasi cha pesa ninachokitaka kwa siku.
TUSAIDIANE TAFUTA KWA PAMOJA.
Unataka kulipwa Tsh ngapi?Habari ya uzima.
Mimi naitwa Erick Bernard napatikana DSM kwa sasa.
Natafuta Kazi ya jikoni Kama kuuza supu ya kongoro , chipsi, kuku wa kukaanga , chakula na huduma zote za chakula.
Nina uzoefu wa hii kazi , nimefanya Sana hii kazi maeneo ya DSM kibamba , mbezi na Banana Gongo la mboto.
Nina kauli nzuri Sana kwa wateja
(Good customer care)
Nipo humble , smart na mwaminifu Sana .
Hivyo MTU yeyote mwenye uhitaji wa kuwekeza katika hii biashara anakaribishwa na MTU yeyote anayehitaji kijana mchapa Kazi anakaribishwa Sana.
Waweza nipata kwa namba hii
0746766898
Maelewano mkuu, kutokana na mwenendo wa biashara yako.Unataka kulipwa Tsh ngapi?
Daah we jamaa, utaua watu kwa kihoro. HahaAhsante JOHN MAXWELL kwa majibu yako mazuri, nilikuwa nakutania tu na ukaonyesha ukomavu wa akili kwa kutambua hilo. Mungu akubariki upate kazi mkuu🙏🏾
Emotional intelligence - hamna kihoro I know how to handle kihoro .Daah we jamaa, utaua watu kwa kihoro. Haha
Safi ndugu, ukipata chimbo utujuze hapa tuje kuonja sotojo.E
Emotional intelligence - hamna kihoro I know how to handle kihoro .
Safi ndugu, ukipata chimbo utujuze hapa tuje kuonja sotojo.
Safi ndugu, ukipata chimbo utujuze hapa tuje kuonja sotojo.
Wapo ila si JOHN MAXWELL, nilikuwa namtania tuKwamba jamaa huwa anadokoa order za wateja au?
Uzuri ni kwamba mwenyewe JOHN MAXWELL alinielewaDaah we jamaa, utaua watu kwa kihoro. Haha
Ungekuwa Mwanza hii coment yangu ingekuwa mwisho wa uzi wako.Wakuu bado nafatilia FURSA ya jikoni bado sijapata .
Nipo DSM kibamba naomba MTU yeyote mwenye kazi au anatafuta kijana mwaminifu anijulishe.
Nahitaji kazi Sana wakuu.
Mimi nipo vizuri katika haya maeneo
Biashara ya chips
Kuuza na kuandaa chips
Kuku wa kukaanga
Supu ya kuku ,mbuzi na n'gombe
Supu ya kongoro.
Pia tunaweza kupanua biashara kwa kuuza na chakula kama ugali, wali na ndizi.
Napatikana Muda wote kuanzia sasa 24/7
Wakuu niwasaidie kitu, kwenye kuanza biashara yoyote ile usifunge mkataba mnono na mwenye bar au nyumba. mwanzoni ikibidi mgrind to the maximum ukifanikiwa kwa hilo baadae utakuja kuishukuru hii comment yaani mfano hapo nimeona jiko per day 5k wewe funga nae siku 30 tu za matazamio kwa hiyo hiyo 5k yake kwanza, kisha ukijiridhisha na consumption ya bidhaa yako unafunga nae mkataba wa 2.5k per day..Nafikiri wanalipa kwa siku elfu tano