Natafuta kazi ya kufundisha majumbani

Ezekia Erasto

Member
Joined
Jan 13, 2025
Posts
7
Reaction score
5
Habari mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu UDSM natafuta kazi ya kufundisha majumbani (tuition), kuanzia shule ya msingi mpaka kidato cha sita masomo ni English, kiswahili na History kwa mawasiliano zaidi 0785935414, ahsante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…