HEARTZ Senior Member Joined Mar 16, 2012 Posts 111 Reaction score 80 Aug 18, 2023 #1 Nimefanikiwa kupata Bachelor of Education, hivyo basi kwa yeyote mwenye uhitaji au connection itakayoniwezesha kupata kazi ya kufundisha au inayoendana na taaluma yangu. Naomba kutanguliza shukrani.
Nimefanikiwa kupata Bachelor of Education, hivyo basi kwa yeyote mwenye uhitaji au connection itakayoniwezesha kupata kazi ya kufundisha au inayoendana na taaluma yangu. Naomba kutanguliza shukrani.
Koffi Annan JF-Expert Member Joined Dec 23, 2018 Posts 1,771 Reaction score 5,087 Aug 18, 2023 #2 Jifunze namna ya kuwasilisha vitu vya msingi kama hivi, ukiendelea hivi hutakaa upate kazi kisha uanze kuilaumu serikali
Jifunze namna ya kuwasilisha vitu vya msingi kama hivi, ukiendelea hivi hutakaa upate kazi kisha uanze kuilaumu serikali
Meneja Wa Makampuni JF-Expert Member Joined Jul 7, 2020 Posts 7,899 Reaction score 10,415 Apr 19, 2024 #3 Namba ya simu hukuweka
Dr am 4 real PhD JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 11,640 Reaction score 24,066 Apr 19, 2024 #4 Koffi Annan said: Jifunze namna ya kuwasilisha vitu vya msingi kama hivi, ukiendelea hivi hutakaa upate kazi kisha uanze kuilaumu serikali Click to expand... Tatizo wa TZ Ni kukosoa bila KU toa way forward ya afanyaje ?!! Kama huna Cha kumsaidia MTU Ni Bora kukaa kimya
Koffi Annan said: Jifunze namna ya kuwasilisha vitu vya msingi kama hivi, ukiendelea hivi hutakaa upate kazi kisha uanze kuilaumu serikali Click to expand... Tatizo wa TZ Ni kukosoa bila KU toa way forward ya afanyaje ?!! Kama huna Cha kumsaidia MTU Ni Bora kukaa kimya