Jese Pinkman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 661
- 338
sikuhizi kaka mambo ya kujitolewa hayapo hayo maisha ni kutafuta sasa wewe unajirahisi hivyo maana yake nini?
nakuomba hata kama unajitolea lzm uwe na dau angalau sasa unatuaibisha wenzio wa Bed Psychology,
Nazani kajieleza kila kitu wewe kusema anajiraisi sijui umelopoka tu? Kakwambia anataka kusaidia just give him only meals and tranaport.