Jese Pinkman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 661
- 338
sikuhizi kaka mambo ya kujitolewa hayapo hayo maisha ni kutafuta sasa wewe unajirahisi hivyo maana yake nini?
nakuomba hata kama unajitolea lzm uwe na dau angalau sasa unatuaibisha wenzio wa Bed Psychology,
kazi unayo na hivyo Huna masomo ya kufundishia
Kaka ningekushauri maadamu umegraduate nina imani utafaulu.Ushauri angalia cheti chako cha six.Kama ulifaulu sayansi omba Bsc education mwaka kesho ili uwe more marketable!
Hujajibu swali...unaruka ruka tu...wasomi wa siku hizi bwana khaaaa.......