- Thread starter
- #21
Weka wazi,hizo 2.5Kg ni za sukari,mchele,sembe au dagaa?
we nipe kazi alafu useme unataka 2.5 ya kitu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka wazi,hizo 2.5Kg ni za sukari,mchele,sembe au dagaa?
thankx 4 the courage von bado nina subira najua Mungu wangu c kiziwi ,ila ndo hivyo tunataribu njia ambazo wengine wametokea
we nipe kazi alafu useme unataka 2.5 ya kitu gani?
mkuu nicnic mie nimesoma fani tofaut nimegraduate last yr na nko mzigon fan yangu haina competitn kihivyo coz cweng wanasomea, cna connectn na wa2 wa fani yako bt jipe moyo utapata ila ondoka mosh hamna fursa za ajira kihivyo!
nina diploma ya uhasibu CBE,mwaka wa 3 niko nyumbani msaada wa kazi jamani kwa hapa moshi,nina kilo 2 na nusu.
sasa si utuambie umesoma fani gani ili utupe michongo na sisi? labda tuna fani kama yako je? kama vipi niPM pls!
nunua mitumba uuze kibororoni kaka
ninunue wap ndugu kama nawe unafanya hii business nipe abc's zake plz
njoo kitumbini ufunge mzigo kama mtaji mdogo njoo asubuhi ilala na buku kumi upate nguo za kuanzia business, mimi nilianza na buku tano
nina diploma ya uhasibu CBE,mwaka wa 3 niko nyumbani msaada wa kazi jamani kwa hapa moshi,nina kilo 2 na nusu.
nina diploma ya uhasibu CBE,mwaka wa 3 niko nyumbani msaada wa kazi jamani kwa hapa moshi,nina kilo 2 na nusu.