Natafuta kazi ya Maabara jamani Lab Assistant

Natafuta kazi ya Maabara jamani Lab Assistant

Kuntankite

Member
Joined
Sep 17, 2021
Posts
10
Reaction score
6
Tangazo hilo kama linavyojieleza wapendwa ninahitaji nafasi ya kazi.

Nina miaka 28Yrs...mkazi wa Kahama Shinyanga...Nina ERP....Uzoefu upo wa kutosha tu kama miaka 5 tokea nimalize chuo 2016..Nina mke na mtoto mmoja ...0765 626 871.

Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom