Natafuta kazi ya mambo yanayo husu Kilimo na mifugo Arusha.

Natafuta kazi ya mambo yanayo husu Kilimo na mifugo Arusha.

yuswise

Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
18
Reaction score
8
Habari za wakati huu ndugu, nipo apa kwaajili ya kuomba kazi yeyote inayohusiana na masuala ya Kilimo na mifugo, napatikana Arusha.niko tayari kufanya ata kwakujitolea ili nisipoteze elimu yangu na career yangu.asanteni nimatumaini yangu nitapata.
 
Mkuu,kama kilimo na mifugo ndiyo taaluma yako kwa nini usifanye mwenyewe ili kuitendea haki elimu yako? Nikikuambia uje kusafisha banda langu la nguruwe si utaona nimekutukana? Njoo tushirikiane kwenye kilimo na ufugaji,acha hiyo mentality ya kutumikishwa!
 
Back
Top Bottom