Natafuta kazi ya mauzo au masoko kwa malipo ya commission

Natafuta kazi ya mauzo au masoko kwa malipo ya commission

Mr mussa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2018
Posts
296
Reaction score
456
Habari!

Naitwa Musa, umri ni miaka 24 ni graduate wa information technology katika level ya degree. biashara inahitaji wateja ili kuweza kupata faida na kuendesha biashara, Hivyo basi kama kuna kampuni au biashara binafsi inahitaji kuweza kuongeza mauzo yake kwa kupata wateja basi tunaweza kuwasiiana.

Nina uzoefu kiasi wa kufanya mauzo hivyo basi nipo tayali kuhakikisha nakuletea wateje na kuweza kuuza bidhaa au huduma husika.

Kama kuna mtu ataweza kuniunganisha na kampuni au biashara binafsi itakuwa ni vyema Zaidi.

Mawasiiano 0743451357 call/ SMS/ WhatsApp

Location Dar es salaam
 
Habari!

Naitwa Musa, umri ni miaka 24 ni graduate wa information technology katika level ya degree. biashara inahitaji wateja ili kuweza kupata faida na kuendesha biashara, Hivyo basi kama kuna kampuni au biashara binafsi inahitaji kuweza kuongeza mauzo yake kwa kupata wateja basi tunaweza kuwasiiana.

Nina uzoefu kiasi wa kufanya mauzo hivyo basi nipo tayali kuhakikisha nakuletea wateje na kuweza kuuza bidhaa au huduma husika.

Kama kuna mtu ataweza kuniunganisha na kampuni au biashara binafsi itakuwa ni vyema Zaidi.

Mawasiiano 0743451357 call/ SMS/ WhatsApp

Location Dar es salaam
Njoo inbox boss
 
Habari!

Naitwa Musa, umri ni miaka 24 ni graduate wa information technology katika level ya degree. biashara inahitaji wateja ili kuweza kupata faida na kuendesha biashara, Hivyo basi kama kuna kampuni au biashara binafsi inahitaji kuweza kuongeza mauzo yake kwa kupata wateja basi tunaweza kuwasiiana.

Nina uzoefu kiasi wa kufanya mauzo hivyo basi nipo tayali kuhakikisha nakuletea wateje na kuweza kuuza bidhaa au huduma husika.

Kama kuna mtu ataweza kuniunganisha na kampuni au biashara binafsi itakuwa ni vyema Zaidi.

Mawasiiano 0743451357 call/ SMS/ WhatsApp

Location Dar es salaam
Bado tunaweza kukucheck mimi pia nina biashara nahtaji mtu wa Marketing malipo ni kwa commission
 
Back
Top Bottom