Natafuta kazi ya music production studio yoyote Dar es salaam

Natafuta kazi ya music production studio yoyote Dar es salaam

EmerickJantern

New Member
Joined
Sep 20, 2022
Posts
4
Reaction score
2
Habarini wapendwa,natumaini mnaendelea vyema.Samahani mimi ni kijana wa miaka 22,naishi Buguruni,Dar es salaam.Nina ujuzi katika kutengezneza beat,mimi sio professional sana ila ninajua na ninaweza kwa uwezo wangu.
Kama kuna mtu anafahama studio ya muziki inayohitaji music producer tafadhali naomba unijuze nitashukuru sana.
 
Back
Top Bottom