longolongo
Member
- Mar 19, 2010
- 11
- 0
Acha tabia mbaya mkuu. JF hatuko hivoMtu mwenyewe longolongo nani anataka longolongo kwenye hotel yake. We mtu pori bakia porini huko huko
wana jf mbona mbona huyu mwenzetu anataka kumkwaza huyu mtu anaetaka part time? Ni bora umwambie huna nafasi kuliko kumjibu hovyo si utu namna hiyo tuwe wastaarabu jamani
Mtu mwenyewe longolongo nani anataka longolongo kwenye hotel yake. We mtu pori bakia porini huko huko
Mtu mwenyewe longolongo nani anataka longolongo kwenye hotel yake. We mtu pori bakia porini huko huko
we umetokea wapi? unajua kama una frustration zako za maisha si vizuri kuzitolea kwa wenzio. kwanza umejibu hivyo kama nani, maana huwezi hata kumwajiri, tatizo mnakurupuka sana, bora tu mmepata keyboard za kubonyeza.