L Leesun Member Joined May 15, 2023 Posts 5 Reaction score 6 Jul 24, 2023 #1 Habarini ndugu, jamaa na marafiki. Mimi ni mwalimu wa Chemistry na Biology. Nina uwezo wa kufundisha primary, secondary na advanced level. Nipo mbeya. Please mwenye kujua shule yenye uhitaji au connection anijulishe. Namba ya simu: 0766698323
Habarini ndugu, jamaa na marafiki. Mimi ni mwalimu wa Chemistry na Biology. Nina uwezo wa kufundisha primary, secondary na advanced level. Nipo mbeya. Please mwenye kujua shule yenye uhitaji au connection anijulishe. Namba ya simu: 0766698323
Shangani JF-Expert Member Joined Nov 2, 2014 Posts 761 Reaction score 1,076 Jul 24, 2023 #2 Google hizo kazi world wide sio lazima iwe Bongo tu.... Jaribu kuangalia viwanda vya chemical hapa Bongo.
Google hizo kazi world wide sio lazima iwe Bongo tu.... Jaribu kuangalia viwanda vya chemical hapa Bongo.
Kifurukutu JF-Expert Member Joined Aug 29, 2013 Posts 4,641 Reaction score 6,694 Jul 24, 2023 #3 Dah Watu wanafikiri kuukimbia ualimu wewe ndio unaulilia humu
L Leesun Member Joined May 15, 2023 Posts 5 Reaction score 6 Jul 24, 2023 Thread starter #4 Kifurukutu said: Dah Watu wanafikiri kuukimbia ualimu wewe ndio unaulilia humu Click to expand... Life is complicated
Kifurukutu said: Dah Watu wanafikiri kuukimbia ualimu wewe ndio unaulilia humu Click to expand... Life is complicated