Natafuta kazi ya ualimu

Natafuta kazi ya ualimu

Leesun

Member
Joined
May 15, 2023
Posts
5
Reaction score
6
Habarini ndugu, jamaa na marafiki.

Mimi ni mwalimu wa Chemistry na Biology. Nina uwezo wa kufundisha primary, secondary na advanced level. Nipo mbeya.

Please mwenye kujua shule yenye uhitaji au connection anijulishe.
Namba ya simu: 0766698323
 
Google hizo kazi world wide sio lazima iwe Bongo tu.... Jaribu kuangalia viwanda vya chemical hapa Bongo.
 
Back
Top Bottom