Natafuta kazi ya udereva bodaboda au uvuvi

Joined
May 23, 2024
Posts
22
Reaction score
12
Habari WanaJF,

Natafuta kazi ya udereva boda boda ,uvuvi na yeyote ile kikubwa inipatie kipato cha kujikimu, umri wangu ni 24 naishi hapa Dar pia Nina ELIMU ya chuo kikuu upande wa education in kiswahili and history ila bado nimehairisha mwaka kwa ajiri ya KUJITAFUTIA, mawasiliano 0785598033
 
Omba upolisi kwa kutumia 4m6, unaweza kutoboa. (Uwe umemaliza 2018 au zaidi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…