Mr mhagama
New Member
- May 20, 2022
- 3
- 0
Natafta kazi ya udereva nina leseni class D, A1, A2 0759256570
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukipata nishitue na mimi nina class D kama ya kwako
Jaribu za halmashauri ya mbeya,kondoa zpo nying naona kila halmashauri wametoaNatafta kazi ya udereva nina leseni class D, A1, A2 0759256570
Ila pale nimeona class c sijui E jaribu kuangliaJaribu za halmashauri ya mbeya,kondoa zpo nying naona kila halmashauri wametoa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
iyo D si hata mama naniii anayoNatafta kazi ya udereva nina leseni class D, A1, A2 0759256570
Utakuwa lofaa mno au unasubiri ajira ikufuate,, Cheti vcha NIT ni lulu mjini jifunze kukitumia.kwel hali mbaya ww una A na D pambana sana mm nmemalza izo na chet na Nit juu nko bench View attachment 2244533
naomba hayo mafunzo ya kukitumia mana sio wote waliomalza nit wako kaznUtakuwa lofaa mno au unasubiri ajira ikufuate,, Cheti vcha NIT ni lulu mjini jifunze kukitumia.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hii leseni ni ya kimchongo hauwezi ukawa na leseni yenyewe ambayo imepitia hatua zote za ukuaji afu madaraja yote yakatolewa tarehe mojakwel hali mbaya ww una A na D pambana sana mm nmemalza izo na chet na Nit juu nko bench View attachment 2244533
unajua nimeanza kumilk lesen mwaka gan? na lesen ikiisha kwa hii sheria mpya ya kuongeza miaka kutoka 3 mpaka 5 unaifaham au ushaenda kufatilia lesen ukajua utaratbu uko vp kwa sasa na kngne cha kukusaidia NIT hawapokei wanafunz wa udereva ila wanapokea madereva il ukapate profesional corse unayoihtaj kama n Vip au psv au hgv n.kHii leseni ni ya kimchongo hauwezi ukawa na leseni yenyewe ambayo imepitia hatua zote za ukuaji afu madaraja yote yakatolewa tarehe moja
Labda utuelezee ulivyoipata?
Kwa ground mambo magumu.. Watu tuna ma vyetii[emoji23][emoji23] ila hatujakata tamaa.. Bado tunapambanaunajua nimeanza kumilk lesen mwaka gan? na lesen ikiisha kwa hii sheria mpya ya kuongeza miaka kutoka 3 mpaka 5 unaifaham au ushaenda kufatilia lesen ukajua utaratbu uko vp kwa sasa na kngne cha kukusaidia NIT hawapokei wanafunz wa udereva ila wanapokea madereva il ukapate profesional corse unayoihtaj kama n Vip au psv au hgv n.k
hajajua uyo mzeeKwa ground mambo magumu.. Watu tuna ma vyetii[emoji23][emoji23] ila hatujakata tamaa.. Bado tunapambanaView attachment 2246261
Mkuu itakua umekosa mtu wa kukupambania tuu labda au huna uelewa na mambo ya application au hufuatilii. Kwa qualifications zako unapaswa kua na ajira tena ya serikali. Kuna kazi za halmashauri zinatangazwa daily wanataka madereva na huwa ni kuanzia watu 50 ni ajira nyingi mnoo, hadi mahospital wakitoa ajira kunakua na madereva, vyuo kunalua na madereva, makampuni binafsi, wizara.?????? Mkuu tafuta namna ya kua karibu na source za ajira jasa matangazo au wewe binafsi ujiunge magroup kama ajiraleo hua haijawahi pita wiki lazma uone ajira zaidi ya 20 za madereva. Mwisho jiunge ajira Portal tengeneza vzur account yako ukikosa labda ni usahili unasumbua ila sio vyeti mkuu.kwel hali mbaya ww una A na D pambana sana mm nmemalza izo na chet na Nit juu nko bench View attachment 2244533