mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 3,074
- 6,472
Nina uzoefu wa miaka 8 nimeendesha katika nchi tatu ikiwemo rwanda, kenya,pamoja na south Afrika
Nina mepitia veta na nina cheti, nina leseni class E, C, B,D
Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote kwa malipo yoyote sina tamaa
Gari ambazo nazimudu pamoja na scania,schman, howo,faw, na zingine za mtindo huo
Pia kama una connection ya kampuni ukiniunganisha nitatoa pesa ya shukurani kama laki tatu kamili
Ni mzoefu wa kubeba makaa ya mawe pamoja na tank za mafuta
Naombeni msaada wenu kwa sasa napatikana mbeya namba yangu ya simu 0621310646 🙏🙏🙏
Nina mepitia veta na nina cheti, nina leseni class E, C, B,D
Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote kwa malipo yoyote sina tamaa
Gari ambazo nazimudu pamoja na scania,schman, howo,faw, na zingine za mtindo huo
Pia kama una connection ya kampuni ukiniunganisha nitatoa pesa ya shukurani kama laki tatu kamili
Ni mzoefu wa kubeba makaa ya mawe pamoja na tank za mafuta
Naombeni msaada wenu kwa sasa napatikana mbeya namba yangu ya simu 0621310646 🙏🙏🙏