Natafuta kazi ya udereva

Natafuta kazi ya udereva

fidelis sanya

New Member
Joined
Oct 10, 2022
Posts
3
Reaction score
0
Naitwa Fidelisi Fredy Sanya Nina umri wa miaka 22 naishi Dar es Salaam nina cheti Cha kidato Cha nne, Nina cheti Cha V.I.P driver kutoka chuo Cha Taifa Cha usafirishaji N.I.T. Pia Nina Namba ya NIDA, LESENI yangu Ina madaraja matano B, D, C1, C3, E.

Namba zangu za simu Ni 0689361565 au 0762615162 nipo tayari kuajiriwa kwenye kampuni au kumuendesha BOSI n.k , hutojutia kuniajiri, uaminifu na kufanya kazi kwa bidii kwangu
 
Naitwa Fidelisi Fredy Sanya Nina umri wa miaka 22 naishi Dar es Salaam nina cheti Cha kidato Cha nne, Nina cheti Cha V.I.P driver kutoka chuo Cha Taifa Cha usafirishaji N.I.T. Pia Nina Namba ya NIDA, LESENI yangu Ina madaraja matano B, D, C1, C3, E.

Namba zangu za simu Ni 0689361565 au 0762615162 nipo tayari kuajiriwa kwenye kampuni au kumuendesha BOSI n.k , hutojutia kuniajiri, uaminifu na kufanya kazi kwa bidii kwangu
Ushauri wangu kwako fungua account ya Ajiraportal mkuu, ukiwa na account hii nafikili kuna kitu utapata. Ikawe kheri kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom