Natafuta kazi ya ufundi magari

Natafuta kazi ya ufundi magari

Denisi manase

New Member
Joined
May 1, 2024
Posts
2
Reaction score
0
Habari za mda huu Naitwa Denis manase mmi Ni fundi wamagari nipo Arusha natafuta kazi hususan Ni ufundi wa magari naweza kutengeneza Magari kama
-Toyota
_Mistubish
_subaru
_tata
_nk
Kama Kuna mtu Ana huitaji wa fundi au company nipo tayari napatikana kwa number 0616484807
 
All the Best

...,.............................................
 
Kila LA kheri!!
..................................
 
Back
Top Bottom