Natafuta kazi ya upishi

Natafuta kazi ya upishi

munimuni

Senior Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
110
Reaction score
69
Habari wakuu,

Polen sana na majukumu nimekuja kwenu kwa mara nyingine tafuta kazi ya upishi. Mimi ni mpishi mzuri sana wa bites na chakula.
 
Siku nyingine weka namba mzee, mie nahitaji mpishi, na siwezi kukucheki kwa urahisi
 
Habari wakuu,

Polen sana na majukumu nimekuja kwenu kwa mara nyingine tafuta kazi ya upishi. Mimi ni mpishi mzuri sana wa bites na chakula.
bado unahitaji kazi?
Nmekuchek whatsap mkuu
nachoma nyama
naomba unitumie maelezo kuonyesha uzoefu wako kupitia: whynotinn2021@gmail.com au whatsapp 0718003601
Habari wakuu,

Polen sana na majukumu nimekuja kwenu kwa mara nyingine tafuta kazi ya upishi. Mimi ni mpishi mzuri sana wa bites na chakula.
 
Back
Top Bottom