Kasomee kijana ,alafu uje ulingoni kupambania kombe,hiyo kazi sikuhizi haupewi tu unatakiwa uwe na Cheti chake,maana watu sikuhizi wanatumia utendaji km njia ya kupitia kuingia serikalini zen badae wanaenda kusoma au wanatoa magamba yao ya bachelor,kwahiyo gem limekuwa gum Sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.