Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia website ya ajira yako au mabumbe.com brela watangaza nafasi za kazi hukoNatafuta kazi ya utunzaji kumbukumbu, Nina diploma ya utunzaji kumbukumbu niliyopata katika chuo cha utumishi wa Umma (TPSC) na nina uzoefu wa miaka mitatu katika kazi hiyo mwenye kuhitaji mtu wa kutunza kumbukumbu katika organization yake nipo tayari
Brela kuhamia, inamana utoke sekta hii uhamie kwao, sema trc walitoa nafasi.Angalia website ya ajira yako au mabumbe.com brela watangaza nafasi za kazi huko
Za kuhamia zipo na za muda mfupi/mkataba pia zipo nafasi 50.Brela kuhamia, inamana utoke sekta hii uhamie kwao, sema trc walitoa nafasi.
Natafuta kazi ya utunzaji kumbukumbu, Nina diploma ya utunzaji kumbukumbu niliyopata katika chuo cha utumishi wa Umma (TPSC) na nina uzoefu wa miaka mitatu katika kazi hiyo mwenye kuhitaji mtu wa kutunza kumbukumbu katika organization yake nipo tayari
[emoji16]Sasa unatunzaje kumbukumbu? Si uwa tu na save kumbukumbu kwenye hard disk?
Kweli kweli nilisahau.[emoji2935]Za kuhamia zipo na za muda mfupi/mkataba pia zipo nafasi 50.
Ajira za muda mfupi nazo ni changamoto kwasisi walala hoi, kurudi mtaani ni changamoto baada ya mkataba kuisha muda wake.Za kuhamia zipo na za muda mfupi/mkataba pia zipo nafasi 50.
Watanzania na kutunza kumbukumbu wapi na wapi? Halafu kumbukumbu gani kwanza?Natafuta kazi ya utunzaji kumbukumbu.
Nina Diploma ya Utunzaji Kumbukumbu niliyopata katika Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) na nina uzoefu wa miaka mitatu katika kazi hiyo.
Mwenye kuhitaji mtu wa kutunza kumbukumbu katika organization yake nipo tayari.