natafuta kazi yakufundisha

natafuta kazi yakufundisha

gedo

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2012
Posts
314
Reaction score
53
nimemaliza udom-2013,Bsc-ed(chemistry&biology),physics pia nafundisha o-level,unashule au college yako nicheki 0763490332..mazungumzo yakiwa mazuri naweka mkataba kabisa...karibu kwamazungumzo!
 
kaanzishe shule acha uzembe akiri kumkichwa utakuw mwajiriwa mpaka lini kwa akiri yako hapa unawaza wapi utapata mtajia kujenga majengo na kuajili walimu wenzako.....! nitafute nikupe akiri kama hutajali 0784321716 or 0719666099
 
kaanzishe shule acha uzembe akiri kumkichwa utakuw mwajiriwa mpaka lini kwa akiri yako hapa unawaza wapi utapata mtajia kujenga majengo na kuajili walimu wenzako.....! nitafute nikupe akiri kama hutajali 0784321716 or 0719666099

amesema kamaliza chuo mwaka huu,nijuavyo mtu akimaliza chuo hua hana aset yeyote zaidi ya sim yake,laptop,viatu na pea kadhaa za jeanz!!

Sasa hiyo pesa ya kuanzisha shule yake anaitoa wapi???labda ungeeleza hapa namna ya kufungua shule just after graduating with no even pesa ya vocha ili watanzania wengi zaidi wanufaike na maujanja yako mkuu!!
 
kaanzishe shule acha uzembe akiri kumkichwa utakuw mwajiriwa mpaka lini kwa akiri yako hapa unawaza wapi utapata mtajia kujenga majengo na kuajili walimu wenzako.....! nitafute nikupe akiri kama hutajali 0784321716 or 0719666099

yeye kaxema anataka kuajiriwa co kuanzsha xcul,we ambaye unayo hyo akil unamilik xcul gan
 
daaa ndio maana jf nijukwaa lenyeheshima sana nakutegemewa naidara mblmbl zaserikali kujipatia habari nashukuruni kumjib jamaa aliesema nianzishe shule japo sio wazo baya!nita anzisha mfuko ukiniruhusu kufanya hivyo...
 
Kaka ulisoma ualimu bahati mbaya nini jaribu kufikiri elimu kama biashara then utajua ufanye nini mpaka elimu iwe biashara fikiria kuwekeza katika elimu mtaji ni maarifa na ujuzi ulionao naamini wapo wengi ambao wanahitaji maarifa uliyonayo ila wewe ni kazi yako kufikiri ni vipi uweze kufanya ujuzi wako uwe deal...! elimu uliyonayo ni mtaji tosha!
daaa ndio maana jf nijukwaa lenyeheshima sana nakutegemewa naidara mblmbl zaserikali kujipatia habari nashukuruni kumjib jamaa aliesema nianzishe shule japo sio wazo baya!nita anzisha mfuko ukiniruhusu kufanya hivyo...
 
ndiyo maana nikamwchia namba kama anataka anitafute siyo kila mtanzania anaweza kunzisha shule huyu ni kwasababu yupo kwenye hii fani alafu kajitokeza hadharani kuomba msaada!
amesema kamaliza chuo mwaka huu,nijuavyo mtu akimaliza chuo hua hana aset yeyote zaidi ya sim yake,laptop,viatu na pea kadhaa za jeanz!!

Sasa hiyo pesa ya kuanzisha shule yake anaitoa wapi???labda ungeeleza hapa namna ya kufungua shule just after graduating with no even pesa ya vocha ili watanzania wengi zaidi wanufaike na maujanja yako mkuu!!
 
Back
Top Bottom