Natafuta kazi yeyote ya halali

Natafuta kazi yeyote ya halali

Joined
Jul 20, 2024
Posts
46
Reaction score
49
Mimi ni mwanaume wa miaka 28 , nina mke na mtoto mmoja ninaujuzi wa hotel management pia naweza kuendesha gari (sijasomea). Mwanzo nilikuwa na biashara ya M- pesa lakini nikadhurumiwa na matapeli, nikapata kazi kwenye restaurant ya bungeni mshahara laki 2 kwa mwezi lakini si kazi ya kudumu bunge likifungwaa na kazi nayo hamna hata miezi miwili. sasa natafuta kazi ambayo nitafanya kila siku mshahara kwa mwezi uwe 300000 au 10000 kwa siku, kazi yeyote ya halali hata manual work. Nipo Dodoma namba yangu 0694662625
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 28 , nina mke na mtoto mmoja ninaujuzi wa hotel management pia naweza kuendesha gari (sijasomea). Mwanzo nilikuwa na biashara ya M- pesa lakini nikadhurumiwa na matapeli, nikapata kazi kwenye restaurant ya bungeni mshahara laki 2 kwa mwezi lakini si kazi ya kudumu bunge likifungwaa na kazi nayo hamna hata miezi miwili. sasa natafuta kazi ambayo nitafanya kila siku mshahara kwa mwezi uwe 300000 au 10000 kwa siku, kazi yeyote ya halali hata manual work. Nipo Dodoma namba yangu 0694662625
Pole kwa Changamoto,Mwenyezi Mungu akutangulie
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 28 , nina mke na mtoto mmoja ninaujuzi wa hotel management pia naweza kuendesha gari (sijasomea). Mwanzo nilikuwa na biashara ya M- pesa lakini nikadhurumiwa na matapeli, nikapata kazi kwenye restaurant ya bungeni mshahara laki 2 kwa mwezi lakini si kazi ya kudumu bunge likifungwaa na kazi nayo hamna hata miezi miwili. sasa natafuta kazi ambayo nitafanya kila siku mshahara kwa mwezi uwe 300000 au 10000 kwa siku, kazi yeyote ya halali hata manual work. Nipo Dodoma namba yangu 0694662625
Rudi kwenye uwakala mkuu kutapeliwa ni changamoto za kazi naamini hutatapeliwa tena
 
Wabunge wanalipa laki 2? Me nilidhani maeneo kama hayo yamejaa neema.
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 28 , nina mke na mtoto mmoja ninaujuzi wa hotel management pia naweza kuendesha gari (sijasomea). Mwanzo nilikuwa na biashara ya M- pesa lakini nikadhurumiwa na matapeli, nikapata kazi kwenye restaurant ya bungeni mshahara laki 2 kwa mwezi lakini si kazi ya kudumu bunge likifungwaa na kazi nayo hamna hata miezi miwili. sasa natafuta kazi ambayo nitafanya kila siku mshahara kwa mwezi uwe 300000 au 10000 kwa siku, kazi yeyote ya halali hata manual work. Nipo Dodoma namba yangu 0694662625
Pole sana kwa kutapeliwa nakuombea
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 28 , nina mke na mtoto mmoja ninaujuzi wa hotel management pia naweza kuendesha gari (sijasomea). Mwanzo nilikuwa na biashara ya M- pesa lakini nikadhurumiwa na matapeli, nikapata kazi kwenye restaurant ya bungeni mshahara laki 2 kwa mwezi lakini si kazi ya kudumu bunge likifungwaa na kazi nayo hamna hata miezi miwili. sasa natafuta kazi ambayo nitafanya kila siku mshahara kwa mwezi uwe 300000 au 10000 kwa siku, kazi yeyote ya halali hata manual work. Nipo Dodoma namba yangu 0694662625
MUNGU AKUPE HAJAYAMOYOWAKO NDUGU NAKUOMBEA SANA
 
Duh bunge la nchi gani mkuu
200'000 aisee
kuajiriwa tena loh
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 28 , nina mke na mtoto mmoja ninaujuzi wa hotel management pia naweza kuendesha gari (sijasomea). Mwanzo nilikuwa na biashara ya M- pesa lakini nikadhurumiwa na matapeli, nikapata kazi kwenye restaurant ya bungeni mshahara laki 2 kwa mwezi lakini si kazi ya kudumu bunge likifungwaa na kazi nayo hamna hata miezi miwili. sasa natafuta kazi ambayo nitafanya kila siku mshahara kwa mwezi uwe 300000 au 10000 kwa siku, kazi yeyote ya halali hata manual work. Nipo Dodoma namba yangu 0694662625
Mkuu waeza elezea ulitapeliwa vip ili tujifunze huku ukitafuta kazi
 
Back
Top Bottom