Natafuta kazi yoyote halali kwa Arusha

Natafuta kazi yoyote halali kwa Arusha

Frank mtanganyika

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2018
Posts
497
Reaction score
785
Mimi ni Civil technician kutokana na uhaba wa contract za ujenzi kwa sasa niko mtaani naombeni kwa yoyote anayeweza kunisaidia kazi yoyote halali.

Note sichagui kazi hata kama unataka kazi ya kibarua sehemu niko tayari kufanya.
 
Back
Top Bottom