Natafuta kazi yoyote halali, nina elimu ya kidato cha sita

Natafuta kazi yoyote halali, nina elimu ya kidato cha sita

PHK

New Member
Joined
Jul 12, 2019
Posts
3
Reaction score
1
Habari mkuu! Za hukoo;

Mimi nikijana wa miaka 23, naishi Dar es salaam, elimu yangu ni form six nilikuwa naomba msaada wa kazi kwako, nikusaidie katika kazi zako.

Mungu akubariki
 
Back
Top Bottom