Natafuta kazi yoyote halali

Natafuta kazi yoyote halali

Mama Sinono

Member
Joined
Jun 4, 2013
Posts
7
Reaction score
2
Mimi nina degree ya lab technician ila nimeomba kazi sehemu nyingi sana nimekosa.

Naomba unisaidie kupata kazi yeyote nitafanya ila iwe halali.

Nipo na hali mbaya sana wakuu.
 
Mimi nina degree ya lab technician ila nimeomba kazi sehemu nyingi sana nimekosa.

Naomba unisaidie kupata kazi yeyote nitafanya ila iwe halali.

Nipo na hali mbaya sana wakuu.
Mkoa gani upo boss, nitext 0754350882.
 
Mimi nina degree ya lab technician ila nimeomba kazi sehemu nyingi sana nimekosa.

Naomba unisaidie kupata kazi yeyote nitafanya ila iwe halali.

Nipo na hali mbaya sana wakuu.
Nakushauri... uongeze hatua chache kwa Muumba I.e inuka usiku wa manane Swali/pray/Sali na uombe Dua'a sana la hitaji lako ....
Wish you success
 
Back
Top Bottom