Natafuta kazi yoyote halali

Natafuta kazi yoyote halali

Grini

New Member
Joined
Oct 29, 2021
Posts
3
Reaction score
2
Habari wakuu,Naitwa Geofrey nipo morogoro mjini,NATAFUTA KAZI YOYOTE mahalo popote,ni mtaalamu na mzoefu wa mifugo na kilimo, na afya ya binadamu. Elimu yangu ni kidato Cha sita na chuo. Course animal health/daktari wa mifugo,pia c.o na masuala ya kilimo.contact:0689339355
 
Back
Top Bottom