Natafuta kazi yoyote halali

Natafuta kazi yoyote halali

mysara2011

Member
Joined
Sep 28, 2017
Posts
69
Reaction score
84
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza natafuta kazi nafasi yoyote kasoro za ndani, bar
Umri :29
Elimu: Shahada ya mambo ya Computer na ulinzi wa taarifa.
Mahali nakoishi: Tegeta -Dar
Jinsia: Kike
Tafadhali tusaidiane maana hali si hali.
 
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza natafuta kazi nafasi yoyote kasoro za ndani, bar
Umri :29
Elimu: Shahada ya mambo ya Computer na ulinzi wa taarifa.
Mahali nakoishi: Tegeta -Dar
Jinsia: Kike
Tafadhali tusaidiane maana hali si hali.
Nakuombea
 
Back
Top Bottom