Natafuta kazi yoyote ile nina elimu ya education ila nimeahirisha mwaka

Natafuta kazi yoyote ile nina elimu ya education ila nimeahirisha mwaka

Joined
May 23, 2024
Posts
22
Reaction score
12
Habari viongozi,

Mimi ni kijana wa miaka 24 mkazi wa Dar, Nina ELIMU ya chuo kikuu na nimehairisha MWAKA kutokana na changamoto mbalimbali ila nahitaji kufanya KAZI itakayo nipa kipato ili niweze kukusanya pesa za Kuni somesha ,KAZI YOYOTE ila kikubwa iwe halali, namba 0785598033
 
Back
Top Bottom