Natafuta kazi yoyote iliyo halalishwa na Serikali yetu

Natafuta kazi yoyote iliyo halalishwa na Serikali yetu

J0h13

Member
Joined
Nov 30, 2020
Posts
7
Reaction score
3
Natafuta kazi yoyote iliyo halalishwa na serikali yetu

Kwa majina naitwa JOHN E BENDERA
Ni kijana mwenye umri wa miaka 23 kwa sasa.


Ni mchezaji wa mpira pia, ligi daraja la pili Tanzania.

Ndoto zangu kubwa niliziwekeza katika mpira, lakini naamini mnajua mpira wetu apa nchini, si lazima kuuelezea sana, nimeamua kutafuta sehemu nyingine tofauti na mpira, maana umri unaenda na pia ninategemewa.

Naja kwenu ndugu zangu wa JF, Nikiomba msaada wa ajira au sehemu yoyote ya kujishkiza japo kwa mda tu, nina uzoefu mwingi sana tu, kutokana na sehemu mbalimbali nilikopitia, na pia licha ya hivo niko tayari kufanya kazi yoyote licha ya ugeni wake au mazingira yake pia.

ELIMU
  • Ninamesoma mpaka kidato cha nne
  • Nina uwezo wa kuongea lugha ya kifaransa na lugha ya alama (Sign language)
  • Pia nimesomea maswala ya IT, computer operator
  • Ninajua kutumia vyema baadhi ya programs za computer, hasa za office.
KUHUSU MIMI
  • Sina Elimu ya Juu bali nina elimu ya kawaida ya Sekondari lakini nina uelewa wa vitu kadha wa kadha ambavyo vinahitaji zaidi kutumia akili ama nguvu kuliko vyeti.
  • Nipo Tayari kufanya kazi sehemu yoyote Nchi hii. Na nipo tayari kuonana na Mwajiri apajue ninapoishi na aijue familia yangu endapo itabidi kufanya hivyo,nipo SINGIDA kwa sasa, Nina uhitaji wa Kazi kwa hali na Mali.

Mengineyo:
  • Uwezo wa kubuni Projects mbalimbali (Tatizo sina Mtaji).
  • Uwezo wa kuendana na Mazingira and loyal to hospitality issues.
Ni mda sasa sina ili wala lile, naja kwenu naomba msaada wenu.

Natanguliza shukrani zangu

0659904895

www.subrabenz@gmail.com

Ndio mawasiliano yangu
 
Mwanangu komaa tu na mpira huwezi kujua unawezi ukanunuliwa na Manchester United au Liverpool ya Mungu ni mengi.
 
NAFASI YA KAZI

ANAHITAJIKA MPISHI

Ajue kupika vitafunwa vya kila aina

Ajue kupika vyakula vya kila aina.

Eneo la kazi ni mgahawa, uko jijini MWANZA, buzuruga shule.

Mshahara ni per day, Tsh elfu 13.

Ukiwa mwanza itapendeza zaidi.

Nitafute 0625750755

Whatsapp taarifa zako kwa kirefu; majina yako, elimu yako, uzoefu wa kazi, picha zako 2.

DALALI ANAKULA ELFU 50 HARAKA UKIANZA KAZI
 
Sasa mshahara per day 13k af wewe dalali mtu akianza kazi tu unataka 50k huoni kama hautendi haki!!?
Kama kodi ya chumba tunachukua kodi ya mwezi mmoja,

Je itakuwaje kazi ya mshahara huo (laki 4 approx.) Natakiwa kulipwa ngapi?

Elfu 50 au laki 4?
 
Mbona kuna kazi nyingi tu zilizohalalishwa na serikali yetu,hata hapo mtaani kwenu we ulizia kama kazi wanazofanya watu zimehalalishwa watakuambia
 
Back
Top Bottom