crystas_13
New Member
- Oct 31, 2016
- 2
- 4
Habari wana JF
Mimi Ni kijana mwenye umri wa miaka 29, Nina elimu ya BSc CIVIL ENGINEERING, ninatafuta kazi yoyote katika sekta ya ujenzi au sekta yoyote ile ipatikanayo, nimekua nikifanya kazi Kama saidia fundi(kibarua) katika kampuni mbalimbali huku nikisubiri kupangiwa kufanya SEAP, sichagui kazi nipo Dar es Salaam, Mabibo, nitashukuru kwa yoyote atayenisaidia.
Wako katika ujenzi wa taifa
Crystas. Mawasipiano yangu ni 0737541263
Mimi Ni kijana mwenye umri wa miaka 29, Nina elimu ya BSc CIVIL ENGINEERING, ninatafuta kazi yoyote katika sekta ya ujenzi au sekta yoyote ile ipatikanayo, nimekua nikifanya kazi Kama saidia fundi(kibarua) katika kampuni mbalimbali huku nikisubiri kupangiwa kufanya SEAP, sichagui kazi nipo Dar es Salaam, Mabibo, nitashukuru kwa yoyote atayenisaidia.
Wako katika ujenzi wa taifa
Crystas. Mawasipiano yangu ni 0737541263