Hapo kwenye ela ndio pagumu labda nitafute ela alafu nikasomeKwa ushauri kama una kahela flani soma kozi sa OSHA za NOSCH 1 and 2 , ukitoka hapo ajira nyingi za healthy and safety bafo watu hawajasanuka
Naweza mkuu, Sema napendelea nifanye ya professional yangu kwanza.Unaweza kupiga jembe mkuu?
Au unataka kazi za ofisini tu?
Hizo za professional yako inabidi uwe mpole coz ni chache,ila ukitaka za kupiga jembe njoo hapa mpwampwa tulipige jembe mkuu.Naweza mkuu, Sema napendelea nifanye ya professional yangu kwanza.
Hamna kitu hapo ukame tuHizo za professional yako inabidi uwe mpole coz ni chache,ila ukitaka za kupiga jembe njoo hapa mpwampwa tulipige jembe mkuu.
Samahani mkuu watu wa afya wanaweza kusoma hizi mfano nurse , au doctor?Kwa ushauri kama una kahela flani soma kozi sa OSHA za NOSCH 1 and 2 , ukitoka hapo ajira nyingi za healthy and safety bafo watu hawajasanuka
Na hata ukipata hizo ela unazo sema hutasoma, amini nakwambia!!Hapo kwenye ela ndio pagumu labda nitafute ela alafu nikasome
Nitasoma kwa sababu ninajua umuhimu wa elimuNa hata ukipata hizo ela unazo sema hutasoma, amini nakwambia!!
Na hata ukipata hizo ela unazo sema hutasoma, amini nna
Zinafundishwa sehemu gani hizo course?Kwa ushauri kama una kahela flani soma kozi sa OSHA za NOSCH 1 and 2 , ukitoka hapo ajira nyingi za healthy and safety bafo watu hawajasanuka
Mkuu nimeandika kutokana na uzoefu. Kama utakua tofauti hongera otherwise uta prove nilicho andika ukishapata hiyo kazi.Nitasoma kwa sababu ninajua umuhimu wa elimu
hii course huwa ni bei gani mkuu na huwa inachukua mida gani kumaliza, na vyuo gani vinatoa hii course.Kwa ushauri kama una kahela flani soma kozi sa OSHA za NOSCH 1 and 2 , ukitoka hapo ajira nyingi za healthy and safety bafo watu hawajasanuka