Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi zingine mkuu unatakiwa ujiajiri tuHeri ya mwaka mpya wakuu,Naitwa Geofrey wa Moro,kwa heshima na tahadhima kwa yeyote mwenye mapenzi mema aniunganishe na kazi yoyote,nina uzoefu wa kutibu na kuhudumia mifugo,kilimo,compyuta n.k mawasilianao 0689339355.
MUNGU AKUBARIKI
Jiajiri mkuuHeri ya mwaka mpya wakuu,Naitwa Geofrey wa Moro,kwa heshima na tahadhima kwa yeyote mwenye mapenzi mema aniunganishe na kazi yoyote,nina uzoefu wa kutibu na kuhudumia mifugo,kilimo,compyuta n.k mawasilianao 0689339355.
MUNGU AKUBARIKI
Huyu afuge kuku nguruwe koz tayari Ana professionalJiajiri mkuu
Vijana wa bongo kupenda kazi za kwenye kiyoyozi ndo wanakufa for nothing hivihviElimu yetu haina msaada kabisa!
Umesomea kilimo halafu bado unalilia kuajiriwa?
Anazingua jombaaaaHuyu afuge kuku nguruwe koz tayari Ana professional
Na alime
Mind set hivi kua na ujuzi kama huu kazzi za ofisin huoni kua unaenda kunufaisha watu?Anazingua jombaaaa
Njoo Turiani tulime....Heri ya mwaka mpya wakuu,Naitwa Geofrey wa Moro,kwa heshima na tahadhima kwa yeyote mwenye mapenzi mema aniunganishe na kazi yoyote,nina uzoefu wa kutibu na kuhudumia mifugo,kilimo,compyuta n.k mawasilianao 0689339355.
MUNGU AKUBARIKI
Anataka Kazi za kuvaa TaiNjoo Turiani tulime....
Si amesomea Kilimo na Mifugo? Nitampa ekari mbili alime akivuna atanilipa, kukodi ekari moja ni laki moja tuu... Mahindi gunia sasa hivi ni elfu 80.Anataka Kazi za kuvaa Tai
Kazi zingine mkuu unatakiwa ujiajiri tu
Jiajiri mkuu
Elimu yetu haina msaada kabisa!
Umesomea kilimo halafu bado unalilia kuajiriwa?
Huyu afuge kuku nguruwe koz tayari Ana professional
Na alime
Vijana wa bongo kupenda kazi za kwenye kiyoyozi ndo wanakufa for nothing hivihvi
Anazingua jombaaaa
Mind set hivi kua na ujuzi kama huu kazzi za ofisin huoni kua unaenda kunufaisha watu?
Anataka Kazi za kuvaa Tai
omba kazi ya kuchunga ng'ombe au mbuzi mkuu, mbona kazi zipo kibao au hata za kulisha nguruwe.Heri ya mwaka mpya wakuu,Naitwa Geofrey wa Moro,kwa heshima na tahadhima kwa yeyote mwenye mapenzi mema aniunganishe na kazi yoyote,nina uzoefu wa kutibu na kuhudumia mifugo,kilimo,compyuta n.k mawasilianao 0689339355.
MUNGU AKUBARIKI
Ndg utapoteza muda kutafuta kazi ,kitu unachotakiwa kufanya tafuta sehemu tafuta wafugaji na wakulima jitangaze toa ushauri kama wataomba uwatibie mifugo yao tibu kama ulivyo jifunza ,anzafikra za kujiajili kwa sekta yako hiyo inawezekana kabisa chukua hatua ya kujiajili ndg pamoja na ugumu wote utatoka tuHeri ya mwaka mpya wakuu,Naitwa Geofrey wa Moro,kwa heshima na tahadhima kwa yeyote mwenye mapenzi mema aniunganishe na kazi yoyote,nina uzoefu wa kutibu na kuhudumia mifugo,kilimo,compyuta n.k mawasilianao 0689339355.
MUNGU AKUBARIKI