Natafuta kazi yoyote. Nina elimu ya kidato cha sita

Natafuta kazi yoyote. Nina elimu ya kidato cha sita

Mpambanaji huru

New Member
Joined
Apr 11, 2022
Posts
3
Reaction score
2
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 natafuta kazi yoyote ile nina elimu ya kidato cha sita wenye ufaulu mkubwa. Nilikua nasoma chuo ila nikasimamisha mwaka 2019 kutokana na hali ya kifedha ilionikwamisha

Nina experience ya kazi sales and marketing kwa miaka mitatu katika kampuni tofauti.

Naombeni sana mnisaidie ili nijikwamue kiuchumi.

Napatikana Dar es Salaam
 
Jaribu hapo
 

Attachments

  • IMG-20220714-WA0002.jpg
    IMG-20220714-WA0002.jpg
    94.5 KB · Views: 56
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 natafuta kazi yoyote ile nina elimu ya kidato cha sita wenye ufaulu mkubwa. Nilikua nasoma chuo ila nikasimamisha mwaka 2019 kutokana na hali ya kifedha ilionikwamisha

Nina experience ya kazi sales and marketing kwa miaka mitatu katika kampuni tofauti.

Naombeni sana mnisaidie ili nijikwamue kiuchumi.

Napatikana Dar es Salaam
Ulisoma sayansi?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 natafuta kazi yoyote ile nina elimu ya kidato cha sita wenye ufaulu mkubwa. Nilikua nasoma chuo ila nikasimamisha mwaka 2019 kutokana na hali ya kifedha ilionikwamisha

Nina experience ya kazi sales and marketing kwa miaka mitatu katika kampuni tofauti.

Naombeni sana mnisaidie ili nijikwamue kiuchumi.

Napatikana Dar es Salaam
Ulisoma masomo gani na uko dsm sehemu gani?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Njoo Abraar Education Centre kibaha, tukufundishe kazi za kuunda vifaa vya ujenzi huku unalipwa. Baada ya muda mchache (kutegemea na juhudi yako) unakua fundi kamili wa vifaa vya ujenzi.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa whatsapp 0625249605.

Abdul Ghafur

whatsapp 0625249605.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 natafuta kazi yoyote ile nina elimu ya kidato cha sita wenye ufaulu mkubwa. Nilikua nasoma chuo ila nikasimamisha mwaka 2019 kutokana na hali ya kifedha ilionikwamisha

Nina experience ya kazi sales and marketing kwa miaka mitatu katika kampuni tofauti.

Naombeni sana mnisaidie ili nijikwamue kiuchumi.

Napatikana Dar es Salaam
Sisi tunaitwa Abraar Education Centre

Tuna madarasa ya Computer, English,Arabic, kuunda vifaa vya ujenzi na ujenzi wenyewe masonry). Abraar maana yake ni waja wema. Mobile No. 0656399856 au Whatsapp 0625249605 pia tuna madarasa mengine kadhaa ya fani mbali mbali na mengine yanayotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni.

Tupo mtaa wa Vitendo, kata ya Misugusugu, wilaya ya Kibaha, mkoa wa pwani.

Stendi inaitwa Miyomboni Shule au Misugusugu Shule ya msingi. Ukitokea Morogoro tupo baada kidogo ya kupita Mlandizi.🌴🌴🌴🌴
 
Back
Top Bottom