Kama kuna mtu anahitaji mtu wa kufanya kazi yoyote ya halali, nipo hapa napatikana mkoa wa Arusha. Kwa yeyote mwenye connection ata Dar es Salaam naweza kuja kama kuna mwenye kazi tafadhali.
Kama kuna mtu anahitaji mtu wa kufanya kazi yoyote ya halal nipo hapa napatikana mkoa wa Arusha kwa yeyote mwenye connection ata dar es salaam naweza kuja kama kuna mwenye kazi tafadhali
Kama kuna mtu anahitaji mtu wa kufanya kazi yoyote ya halal nipo hapa napatikana mkoa wa Arusha kwa yeyote mwenye connection ata dar es salaam naweza kuja kama kuna mwenye kazi tafadhali
Jiajiri. Ingia maabara tengeneza bidhaa. Kama una uwezo wa kufundisha wanafunzi hayo masomo basi una ujuzi mkubwa. Angalia namna utakavyoifanya mirungi iwe kwenye form ya vidonge, iwe rahisi kuhifadhiliwa, kusafirishwa na kudumu bila kuharibika.
Jiajiri. Ingia maabara tengeneza bidhaa. Kama una uwezo wa kufundisha wanafunzi hayo masomo basi una ujuzi mkubwa. Angalia namna utakavyoifanya mirungi iwe kwenye form ya vidonge, iwe rahisi kuhifadhiliwa, kusafirishwa na kudumu bila kuharibika.
kwanza elewa kuwa kazi ya ajira rasmi utapata. lakini itakuja kwa wakati sahihi. kwa sasa fanya namna upate mtaji ufanye biashara au fikiria hata kuanzisha kituo cha tuition.
kwanza elewa kuwa kazi ya ajira rasmi utapata. lakini itakuja kwa wakati sahihi. kwa sasa fanya namna upate mtaji ufanye biashara au fikiria hata kuanzisha kituo cha tuition.