Natafuta kazi yoyote ya kufanya nipo Kahama

Natafuta kazi yoyote ya kufanya nipo Kahama

Dear ex

Member
Joined
Oct 27, 2023
Posts
49
Reaction score
88
Habarini za muda huu wakuu,

Mimi ni kijana mwanajukwaa mwenzenu nipo Kahama hapa naona maisha yananiendea kombo hiki kipindi kiasi kwamba mpaka kula yangu inaelekea kuwa jambo la mashaka,hivyo naomba yeyote mwenye kuweza kunipa kazi/kibarua anipe nisije nikafa njaa hapa mjini.

Kitaaluma mimi ni mwalimu wa sekondari ngazi ya shahada (sio mwajiriwa),vile vile nina ujuzi wa kuendesha bajaji hivyo kwa yeyote atakayewiwa kunisaidia pm yangu ipo wazi masaa 24.

Nawasilisha🙏
 
Japokuwa unafatilia fursa Ila usiogope kuwafata waajiri direct kupitia E-mail zao.

Waweza nenda LinkedIn ukaaangalia Kampuni hata 30 then ukachukua e-mail zao na kuwatumia CV .

Katika hizo e-mail Kuna ambazo utajibiwa.


Hii njia ni ngumu Ila inaweza kukubadilishia historia
 
Japokuwa unafatilia fursa Ila usiogope kuwafata waajiri direct kupitia E-mail zao.

Waweza nenda LinkedIn ukaaangalia Kampuni hata 30 then ukachukua e-mail zao na kuwatumia CV .

Katika hizo e-mail Kuna ambazo utajibiwa.


Hii njia ni ngumu Ila inaweza kukubadilishia historia
nashukuru kwa wazo lako mkuu nitalifanyia kazi
 
Pole sana mkuu. Namimi sio muda tutaungana kwenye hili janga
 
Back
Top Bottom