Natafuta kazi yoyote ya kufanya nipo Kahama

Natafuta kazi yoyote ya kufanya nipo Kahama

Un
Habarini za muda huu wakuu,

Mimi ni kijana mwanajukwaa mwenzenu nipo Kahama hapa naona maisha yananiendea kombo hiki kipindi kiasi kwamba mpaka kula yangu inaelekea kuwa jambo la mashaka,hivyo naomba yeyote mwenye kuweza kunipa kazi/kibarua anipe nisije nikafa njaa hapa mjini.

Kitaaluma mimi ni mwalimu wa sekondari ngazi ya shahada (sio mwajiriwa),vile vile nina ujuzi wa kuendesha bajaji hivyo kwa yeyote atakayewiwa kunisaidia pm yangu ipo wazi masaa 24.

Nawasilisha🙏
Una ujuzi Gani?
 
Nenda kijijini kalime utapinga hela sana kuliko kungngania mjini na unahela utatia uruma tu mwaisa kusoma now sio issue watu wanaona kawaida sana.
 
Habari

Una Uzoefu wowote wa usimamizi wa biashara gani mfano, kilimo, mazao, ufugaji , biashara ya jumla au reja reka n.k?

Pia Umri wako ni miaka mingapi?
 
Habari

Una Uzoefu wowote wa usimamizi wa biashara gani mfano, kilimo, mazao, ufugaji , biashara ya jumla au reja reka n.k?

Pia Umri wako ni miaka mingapi?
hapo biashara zote naweza kusimamia isipokuwa hiyo ya ufugaji.
Umri ni miaka 25
 
Back
Top Bottom