- Thread starter
- #21
daaaah yaani acha tuu,haya mambo yasikie kwa mwenzako ila omba yasikukutePole sana mkuu. Namimi sio muda tutaungana kwenye hili janga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daaaah yaani acha tuu,haya mambo yasikie kwa mwenzako ila omba yasikukutePole sana mkuu. Namimi sio muda tutaungana kwenye hili janga
Una ujuzi Gani?Habarini za muda huu wakuu,
Mimi ni kijana mwanajukwaa mwenzenu nipo Kahama hapa naona maisha yananiendea kombo hiki kipindi kiasi kwamba mpaka kula yangu inaelekea kuwa jambo la mashaka,hivyo naomba yeyote mwenye kuweza kunipa kazi/kibarua anipe nisije nikafa njaa hapa mjini.
Kitaaluma mimi ni mwalimu wa sekondari ngazi ya shahada (sio mwajiriwa),vile vile nina ujuzi wa kuendesha bajaji hivyo kwa yeyote atakayewiwa kunisaidia pm yangu ipo wazi masaa 24.
Nawasilisha🙏
udereva wa pikipiki na bajajiUn
Una ujuzi Gani?
Aje na kamtaji kidogo itamsaidi sana huku.Nenda kijijini kalime utapinga hela sana kuliko kungngania mjini na unahela utatia uruma tu mwaisa kusoma now sio issue watu wanaona kawaida sana.
ya wapi??Nenda plant
hapo biashara zote naweza kusimamia isipokuwa hiyo ya ufugaji.Habari
Una Uzoefu wowote wa usimamizi wa biashara gani mfano, kilimo, mazao, ufugaji , biashara ya jumla au reja reka n.k?
Pia Umri wako ni miaka mingapi?