sawa mkuu nimekuelewa acha nifanye hivyoWeka bundle shinda humu hulosi kazi we weka likes kicheko utaniambia kwenye post za watu
😂😂😂😂😂hee tena??Ila teacher kwanini usingemaliza kwanza na Dear X wako inaonekana ndio anakubania ridhiki..wote tuna njaa humu
sawa mkuu ngoja asubuh nikajaribuNenda plant
ni ME mkuuPole mkuu, ungekuw jins KE ningekupa u H.G
daaah shukran mkuu ila sema ndo kama hivi niko mbaliUngekuwa Dsm ningekufanyia mpango wa kupata boda uendeshe
Ongea na hawa wazee wa mipango mjn hawaUngekuwa Dsm ningekufanyia mpango wa kupata boda uendeshe
sawa mkuu ngoja niongee nao vzrOngea na hawa wazee wa mipango mjn hawa
nashukuru kwa wazo lako mkuu nitalifanyia kaziJapokuwa unafatilia fursa Ila usiogope kuwafata waajiri direct kupitia E-mail zao.
Waweza nenda LinkedIn ukaaangalia Kampuni hata 30 then ukachukua e-mail zao na kuwatumia CV .
Katika hizo e-mail Kuna ambazo utajibiwa.
Hii njia ni ngumu Ila inaweza kukubadilishia historia
unanipoteza mkuuPiga ngeta !