Natafuta kazi za miradi mikubwa ya Serikali

Natafuta kazi za miradi mikubwa ya Serikali

disturbanced

Member
Joined
Oct 27, 2024
Posts
21
Reaction score
25
Jf habari za humu

Uzi wangu huu hauna mambo mengi, mimi n kijana wa kiume umri miaka 25 kwa sasa sina kazi yeyote na ninatamani sana kuhama mkoa niliopo.

Ombi langu kwenu najua humu kuna watu tofauti natamani kama ningeweza angalau kufanya vibarua kwenye mradi wowote wa ujenzi wa serikali ninayo uzoefu na kazi hizi kwani nmekua nikizifanya muda mrefu mradi eneo lolote nitasafiri kwa gharama zangu mwenyewe.

Ahsanteni naomba kuwasilisha🙏
 
Jf habari za humu

Uzi wangu huu hauna mambo mengi, mimi n kijana wa kiume umri miaka 25 kwa sasa sina kazi yeyote na ninatamani sana kuhama mkoa niliopo.

Ombi langu kwenu najua humu kuna watu tofauti natamani kama ningeweza angalau kufanya vibarua kwenye mradi wowote wa ujenzi wa serikali ninayo uzoefu na kazi hizi kwani nmekua nikizifanya muda mrefu mradi eneo lolote nitasafiri kwa gharama zangu mwenyewe.

Ahsanteni naomba kuwasilisha🙏
Nimetoka Kuwaza hili jambo jana tu, Dar sasa hivi ujenzi wa barabara kila sehemu, cha kushangaza vijana wapo mtaani hawana kazi.

Ushauri wangu nenda front omba kibarua, ajira huwa inaanzaga na kibarua baadaye uñakuta kampuni inakupa mkataba.

Bado sijaelewa kwa nini vijana wengi wapo mtaani na miradi mikubwa inafanyika?
 
Kama upo DSM jaribu Kampuni za wachina zinazojenga barabara Kwa kibarua nadhani ni 17K Ila utafatilia zaidi .

Pia kuna Kampuni inaitwa Istim hii ni Kampuni kubwa Kazi zao huwa ni Noe stop now wana miradi Kawe DSM n.k waweza kufatilia pia .
 
Nimetoka Kuwaza hili jambo jana tu, Dar sasa hivi ujenzi wa barabara kila sehemu, cha kushangaza vijana wapo mtaani hawana kazi.

Ushauri wangu nenda front omba kibarua, ajira huwa inaanzaga na kibarua baadaye uñakuta kampuni inakupa mkataba.

Bado sijaelewa kwa nini vijana wengi wapo mtaani na miradi mikubwa inafanyika?
Kama upo DSM jaribu Kampuni za wachina zinazojenga barabara Kwa kibarua nadhani ni 17K Ila utafatilia zaidi .

Pia kuna Kampuni inaitwa Istim hii ni Kampuni kubwa Kazi zao huwa ni Noe stop now wana miradi Kawe DSM n.k waweza kufatilia pia .
asante boss
 
Nimetoka Kuwaza hili jambo jana tu, Dar sasa hivi ujenzi wa barabara kila sehemu, cha kushangaza vijana wapo mtaani hawana kazi.

Ushauri wangu nenda front omba kibarua, ajira huwa inaanzaga na kibarua baadaye uñakuta kampuni inakupa mkataba.

Bado sijaelewa kwa nini vijana wengi wapo mtaani na miradi mikubwa inafanyika?
Ishu hii miradi foremens wanataka uwape kitu kidogo...kwa mimi nipo arusha huku labda mkuu ingekua vizuri kama kuna watu/mtu anaeweza kuniconnect nipo tayari kusafir kufata mradi husika
 
Back
Top Bottom