disturbanced
Member
- Oct 27, 2024
- 21
- 25
Nimetoka Kuwaza hili jambo jana tu, Dar sasa hivi ujenzi wa barabara kila sehemu, cha kushangaza vijana wapo mtaani hawana kazi.Jf habari za humu
Uzi wangu huu hauna mambo mengi, mimi n kijana wa kiume umri miaka 25 kwa sasa sina kazi yeyote na ninatamani sana kuhama mkoa niliopo.
Ombi langu kwenu najua humu kuna watu tofauti natamani kama ningeweza angalau kufanya vibarua kwenye mradi wowote wa ujenzi wa serikali ninayo uzoefu na kazi hizi kwani nmekua nikizifanya muda mrefu mradi eneo lolote nitasafiri kwa gharama zangu mwenyewe.
Ahsanteni naomba kuwasilishaš
Nimetoka Kuwaza hili jambo jana tu, Dar sasa hivi ujenzi wa barabara kila sehemu, cha kushangaza vijana wapo mtaani hawana kazi.
Ushauri wangu nenda front omba kibarua, ajira huwa inaanzaga na kibarua baadaye uƱakuta kampuni inakupa mkataba.
Bado sijaelewa kwa nini vijana wengi wapo mtaani na miradi mikubwa inafanyika?
asante bossKama upo DSM jaribu Kampuni za wachina zinazojenga barabara Kwa kibarua nadhani ni 17K Ila utafatilia zaidi .
Pia kuna Kampuni inaitwa Istim hii ni Kampuni kubwa Kazi zao huwa ni Noe stop now wana miradi Kawe DSM n.k waweza kufatilia pia .
Ishu hii miradi foremens wanataka uwape kitu kidogo...kwa mimi nipo arusha huku labda mkuu ingekua vizuri kama kuna watu/mtu anaeweza kuniconnect nipo tayari kusafir kufata mradi husikaNimetoka Kuwaza hili jambo jana tu, Dar sasa hivi ujenzi wa barabara kila sehemu, cha kushangaza vijana wapo mtaani hawana kazi.
Ushauri wangu nenda front omba kibarua, ajira huwa inaanzaga na kibarua baadaye uƱakuta kampuni inakupa mkataba.
Bado sijaelewa kwa nini vijana wengi wapo mtaani na miradi mikubwa inafanyika?
Kaka ningetaman kujua hii ipo wapi? Na kma kuna mtu anawleweza kunipa directions mpka kufika kwenye kibarua icho mradi nijue nkifika nafanya kaziasante boss