Nuno esparito santo
Member
- Sep 18, 2021
- 32
- 33
Habari yako,
Nakuja hapa kuomba msaada kwa yeyote yule mwenye kujua ni kiwanda kipi ndani ya Dar au pwani kinachopokea kibarua naomba anifahamishe maana natafuta kazi kwenye kiwanda chochote kile kinachopokea kibarua.
Life langu kwa Sasa nahemea mipila kwa anaejua msaada Wana jf.
Asante sana.
Nakuja hapa kuomba msaada kwa yeyote yule mwenye kujua ni kiwanda kipi ndani ya Dar au pwani kinachopokea kibarua naomba anifahamishe maana natafuta kazi kwenye kiwanda chochote kile kinachopokea kibarua.
Life langu kwa Sasa nahemea mipila kwa anaejua msaada Wana jf.
Asante sana.