Depretty
JF-Expert Member
- Jun 14, 2013
- 248
- 99
Habari,
Nahitaji kazi maeneo ya dar, nina ujuzi wa mambo ya saloon(ya kike na kiume) , lakini pia natafuta kazi za kuuza duka (languo, vipodozi, nk) kazi ya usafi, usaidizi wa ofisini, nyumban kwenda na kurudi) usaidizi wa shuleni hata upishi au kusaidia tu wale watoto na kazi zingine ambazo naweza kuzipata kupitia katika humu.
umri wangu ni 29 jinsia mwanamke, elimu kidato cha 4 lakini pia nina ujuzi wa kompyuta na mambo ya manunuzi na ugavi,
SHUKRAN 🙏🏻
Nahitaji kazi maeneo ya dar, nina ujuzi wa mambo ya saloon(ya kike na kiume) , lakini pia natafuta kazi za kuuza duka (languo, vipodozi, nk) kazi ya usafi, usaidizi wa ofisini, nyumban kwenda na kurudi) usaidizi wa shuleni hata upishi au kusaidia tu wale watoto na kazi zingine ambazo naweza kuzipata kupitia katika humu.
umri wangu ni 29 jinsia mwanamke, elimu kidato cha 4 lakini pia nina ujuzi wa kompyuta na mambo ya manunuzi na ugavi,
SHUKRAN 🙏🏻