Umeolewa? una mtoto/watoto?Habari,
Nahitaji kazi maeneo ya dar, nina ujuzi wa mambo ya saloon(ya kike na kiume) , lakini pia natafuta kazi za kuuza duka(languo, vipodozi, nk) kazi ya usafi, usaidizi wa ofisini, nyumban kwenda na kurudi) usaidizi wa shuleni hata upishi au kusaidia tu wale watoto na kazi zingine ambazo naweza kuzipata kupitia katika humu,
umri wangu ni 29 jinsia mwanamke, elimu kidato cha 4 lakini pia nina ujuzi wa kompyuta na mambo ya manunuzi na ugavi,
SHUKRAN ππ»
Very good.nimeolewa nina mtoto 1
kuna kazi Moshi, ya uudumu wa ofisi,canteeni na staionary, malipo hayazidi laki moja.kama una interest tuwasiline0717157640Habari,
Nahitaji kazi maeneo ya dar, nina ujuzi wa mambo ya saloon(ya kike na kiume) , lakini pia natafuta kazi za kuuza duka(languo, vipodozi, nk) kazi ya usafi, usaidizi wa ofisini, nyumban kwenda na kurudi) usaidizi wa shuleni hata upishi au kusaidia tu wale watoto na kazi zingine ambazo naweza kuzipata kupitia katika humu,
umri wangu ni 29 jinsia mwanamke, elimu kidato cha 4 lakini pia nina ujuzi wa kompyuta na mambo ya manunuzi na ugavi,
SHUKRAN ππ»