Natafuta kazi

Mama

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2008
Posts
2,848
Reaction score
64
Natafuta kazi popote pale duniani.

Nina ujuzi kwenye fani za Information management systems or environmental analyst.

Natanguliza shukrani kwa yeyote atakayekuwa na information ya katika moja ya fani hizi.
 
Mama fikiria kiajiri mwenyewe zaidi kuliko kuajiriwa. Huu ni mtazamo wangu tuu.
 
Mama fikiria kiajiri mwenyewe zaidi kuliko kuajiriwa. Huu ni mtazamo wangu tuu.


Nimekuwa nimejiajiri kwa muda sasa, naona mambo hapa hayaendi vizuri sana ndio nimeamua kutafuta kuajiriwa ili kuongeza kipato.
 
Nini kimekushinda katika kujiajiri mama ? Naweza kukushauri uwe muwazi tu
 
Nini kimekushinda katika kujiajiri mama ? Naweza kukushauri uwe muwazi tu


Ni mambo mengi lakini cha kwanza ni mtaji (am talking this sincerely, don't let the kidding story around, okay)
 
mtaji wa kwanza uliupata wapi ? kwanini usifanye ecommerce , nyingi zao hazihitaji mtaji mkubwa au hazihitaji kapisa ni wewe ujuzi wako na utaalamu wako wa ziada kuliko hiyo ?

kwani kampuni uliyoanzisha ulikuwa unafanya nini ?
 
mtaji wa kwanza uliupata wapi ? kwanini usifanye ecommerce , nyingi zao hazihitaji mtaji mkubwa au hazihitaji kapisa ni wewe ujuzi wako na utaalamu wako wa ziada kuliko hiyo ?

kwani kampuni uliyoanzisha ulikuwa unafanya nini ?


Mtaji wa kwanza ulitokana na kipato changu mwenye ambcho naona kimeshuka.

Natafuta kazi ya kuajiriwa.
 
Kuna wengine wanatafuta kuajiriwa japo wana andaa shughuli nyingine binafsi pembeni - just a thought kwa faida ya wengine.



Ni mambo mengi lakini cha kwanza ni mtaji (am talking this sincerely, don't let the kidding story around, okay)


Niliwahi kumwambia mtu kama ulivyosema, akaniambia, "you already have it, your brain is the only capital you need". If hard cash is the obstacle, put it aside - out of the way!

Wish you all the best mama!



.
 


Mtaji in the sense thatb I have to pay the employees, I have to pay rent for the office space, wachia mbali kodi. Na shughuli ninayofanya sio kwamba mzigo unatoka kirahisi rahisi kam duka au boutique. Its more of the brain work. The fact is when I am employed, mshahara wangu toka ofisini utapungua so itapunguza expenditure na kufanya shughuli isiyumbe.
 

Mama,
umeshajaribu kutuma CV yako kwa employment agencies? Kutegemeana na ulipo..unaweza kujaribu kuwasiliana na e.g Manpower Services na wengine....PM me for more info.
 
Mama,
umeshajaribu kutuma CV yako kwa employment agencies? Kutegemeana na ulipo..unaweza kujaribu kuwasiliana na e.g Manpower Services na wengine....PM me for more info.


Hao niliambiwa eti ni matapeli, nisipeleke CV yangu huko inaweza tumiwa kumpatie kazi mtu mwingine mwenye jina.
 
na maranyingi unaweza kupata kazi ukalazimika kutafuta pesa kidogo kwa ajili yao kama huna basi yule mwenye nayo ndio anaipata kwa taarifa yako
 


You don't have the money, that is fair enough. Options/alternatives zipo ili upige hatua.

Kufanikiwa kwenye shughuli yako binafsi, ambayo una imani kwamba unaiweza, na una mapenzi makubwa sana ya kile unachotaka kufanya - mtaji wa fedha si lazima uwe ndani ya equation.





.
 


asante lazy

Je ninafanya makosa kutafuta kazi? niendelee tu na shughuli ya kujiajiri?
 
asante lazy

Je ninafanya makosa kutafuta kazi? niendelee tu na shughuli ya kujiajiri?

LazyDog, she's been there already dude.... siyo kwamba ndiyo amemaliza Masters or PhD yake tu na ndiyo anaingia ingia kwenye job market.... NO. BEEN THERE DONE THAT! She's MAMA.......................MA---MA, can you say it?.....................MA'---MA!!!! Good boy, now pls try that again !!!! 🙂🙂



.......you knew i was gonna hit you back hard..... one! lol
 
asante lazy

Je ninafanya makosa kutafuta kazi? niendelee tu na shughuli ya kujiajiri?


Kuhusu hilo, sidhani kwamba unafanya kosa. Baada ya muda, hiyo ya kuajiriwa utaweza kabisa kuifanya ikawa ndiyo part-time job; ukaendelea nayo hata baada ya kufanikiwa kwenye shughuli yako binafsi.




.
 
Kuhusu hilo, sidhani kwamba unafanya kosa. Baada ya muda, hiyo ya kuajiriwa utaweza kabisa kuifanya ikawa ndiyo part-time job; ukaendelea nayo hata baada ya kufanikiwa kwenye shughuli yako binafsi.




.


Asante. Na ndio lengo langu hasa.
 
Hello Mama!

Unaweza kupata kazi kweli sehemu yeyote duniani .
Kuna site hizi vitakusaidia hasa kwa ukanda wa USA.

CareerBuilder.com Jobs - The Largest Job Search, Employment & Careers Site
This is the best ,i guess.

Find Jobs. Build a Better Career. Find Your Calling. | Monster.com
Hii nzuri pia

career job employment examples of at enviromentalcareer.com
hii kwa kazi za mazingira hasa

Katika hizi nilizokupa site ambazo zote ni free ,unaweza kusearch kazi unayotaka at specific place and specific career level etc.
Pia unaweza kuweka CV/resume yako ni mambo nafasi unayotaka na sehemu mbalimbali ,once inapopatikana automatic agent anakutumia email kwamba uende kwenye web site kuna nafasi za kazi kama unazotaka na mahali unakota.

Nakutakia mafanikio mema,na hakika utapata unachotafuta Mama.
Wako,
Mutu

NB
Kama unatafuta kufanya USA waajili wengi hawako tayari kufungua kurasa kumi za CV (ambayo wanaita Resume ) .Jobseeker wengi wanakuwa na resume ya one page na pia specific resume for specific job application.
 
asante lazy

Je ninafanya makosa kutafuta kazi? niendelee tu na shughuli ya kujiajiri?

Hufanyi makosa mama, lakini kutegemea na upande gani wa dunia unaishi, ajira sasa hivi zimekua ngumu kidogo na hali inaweza kuwa mbaya zaidi maana kama unavyoona hali ya uchumi wa dunia nzima inatetereka kwa kasi ya ajabu na baadhi ya waajiri wameshaanza kupunguza wafanyakazi kwa maelfu. Hivyo hilo pia ulitilie maanani katika kutafuta kwako kazi. Kila la heri.
 
asante lazy

Je ninafanya makosa kutafuta kazi? niendelee tu na shughuli ya kujiajiri?
Binafsi sihitaji kuuliza upo wapi na ni shughuli gani ulikuwa unafanya,lakini kwangu naona ni vizuri ukaangalia altenative ya shughuli uliyokuwa unajiajiri.....si vizuri kufikiria kuajiliwa jaribu kubadili biashara uliyokuwa unafanya.....

Kuajiliwa jua ni utumwa utalipwa mil 2 lakini utafanyishwa kazi za watu 10 utachoka.....mimi binafsi sifikirii kuajiliwa maana nataka niwe tajiri najua nikiajiliwa sitakuwa tajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…