Natafuta kazi

sanzy

New Member
Joined
Jun 15, 2021
Posts
1
Reaction score
0
Habari WanaJF mimi ni kijana wa kiume (25) shupavu mwadirifu na nimwaminifu .Sina ELIMU sanaa Nina certificate ya 4m4 tu, nipo hapa kwa ajili ya kuomba kazi ndugu zanguni, nikipata kazi yoyote ambayo inayoweza kusongesha maisha yangu nitashukuru

Naombeni mnisaidie

Asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…