sanzy
New Member
- Jun 15, 2021
- 1
- 0
Habari WanaJF mimi ni kijana wa kiume (25) shupavu mwadirifu na nimwaminifu .Sina ELIMU sanaa Nina certificate ya 4m4 tu, nipo hapa kwa ajili ya kuomba kazi ndugu zanguni, nikipata kazi yoyote ambayo inayoweza kusongesha maisha yangu nitashukuru
Naombeni mnisaidie
Asanteni
Naombeni mnisaidie
Asanteni