Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,296
Heshima mbele wakuu,naomba kama kuna mtu yoyote hapa ndni anaeweza kuniajiri ama kunisaidia sehem yoyote napoweza ajiriwa.kutkna na ugum wa maisha niko tayari kufanya kazi yoyote ili mradi mshahara uwe unaridhsha..elimu yangu bdo npo chuo nafnya LLB,matokeo yangu ya o-level ni dv 1:17 A level ni dv 2:12,naongea na kuandka kiingereza kwa ufasaha kbsa.kma ntakua nakufaha tafadhli namba yangu ni,0758144803,naomb nitafte.