Sweet Mother
Member
- Nov 3, 2010
- 19
- 1
Habari za jioni ndugu zangu,
Naombeni msaada wenu japo nipate link ya ajira
Kwa sasa ni mwajiriwa katika kampuni binafsi na ninafanya kazi kama mtakwimu (Researcher and data management)
Kifupi siridhiki na mahali nilipo ndo maana bado natoa macho,naombeni msaada wenu kwa mwenye link.
Niwatakie jioni njema
Watu wanataka nafasi kama hiyo usiku mchana kama haikufai tafuta toroli la maji uwe unaleta kwangu asubuhi na jioni..
Habari za jioni ndugu zangu,
Naombeni msaada wenu japo nipate link ya ajira
Kwa sasa ni mwajiriwa katika kampuni binafsi na ninafanya kazi kama mtakwimu (Researcher and data management)
Kifupi siridhiki na mahali nilipo ndo maana bado natoa macho,naombeni msaada wenu kwa mwenye link.
Niwatakie jioni njema
Watu wanataka nafasi kama hiyo usiku mchana kama haikufai tafuta toroli la maji uwe unaleta kwangu asubuhi na jioni..
Watu wanataka nafasi kama hiyo usiku mchana kama haikufai tafuta toroli la maji uwe unaleta kwangu asubuhi na jioni..
i see jf kuna mtu sampuli mingi...........!
hii nayo sijui ni sampuli ipi mazee.............!